Headlines News :
KARIBU ZANZIBAR YETU BLOG, KWA HABARI MOTO MOTO KUTOKA JIKONI USIKOSE KUTUFUATILIA...ZANZIBAR MEDIA GROUP TUNAIWAKILISHA ZANZIBAR...
Showing posts with label FAT-WA. Show all posts
Showing posts with label FAT-WA. Show all posts

Je mtu akifa inafaa baada ya siku tatu kukusanyika na kumuombea Dua?

Je mtu akifa inafaa baada ya siku tatu kukusanyika na kumuombea dua?

Jawabu kutoka kwa Sheikh Shaaban Bin Salim Al-Battashi

Muisilaamu baada ya kufa kwake, anatakiwa kufanyiwa haki zake maalumu kisheria.


Na miongini mwa haki zake ni :

 Kulipwa madeni yake kutokana na asili ya mali yake
Kukafiniwa sanda
Kusaliwa
Kuzikwa
Kuombewa dua

Katika kuombewa dua hakuna muda maalumu ambao umewekwa kisheria kuwa ndio muda wa kumuombea maiti

 Wala hakuna Sunna yoyote ya kukusanyika watu na kumuombea dua maiti
 Mtume S.A.W alikuwa akiwaambia maswahaba r.a  baada ya kuzika maneno yafuatayo

"Muombeeni msamaha ndugu yenu, kwa hakika yeye hivi sasa ataulizwa"

Amma kukusanyika watu siku ya tatu, au arobaini, au mmwezi wa Rajabu, kwa ajili ya kuwaombea dua maiti, hili jambo halipo hatika sunna ya Mtume s.a.w, wala  yoyote katika maswahaba R.A

Bali hili jambo ni uzushi katika dini

Na wala hakuna thawabu kwa mwenye kualika watu kufanya matanga katika msiba, na mwenye kula chakula cha matanga, hasalimiki na atakuwa ni mwenye kupata dhambi kutokana na chakula hicho

Isipokuwa ikiwa chakula hicho kinatokana na mali za watu wengine wa mbali

Wallahu Aalam

Ustadh Shaaban Bin Salim Al-Battashi
Zanzibar 




















  • "Lengo letu ni kuihabarisha jamii yetu kwa kila kinachotokea kila uchao ..na kutoa elimu na fursa mbali mbali za kuzifunua akili zetu'



  • Karibuni sana kwa maoni na ushauri msikose kutuandikia zenjibarza@gmail.com"



  • Our Mission is to provide quality education without regarding the religion, races, socio-economic status such that having modern and respectable club which aimed at providing standard education to the youth and those people who live disability; for providing education that would help them to face with different challenges including; vagabond, unemployment, using drug abuse, thief, and alike by projecting sustainable developmental strategies/projects with full knowledge of computer training



  • No one can go back and change a bad beginning, but anyone can start and create a successful ending. Every successful person has a painful story,every painful story has a successful ending. Accept pain and get ready for success. Have a good start on your life. Life never comes as how we want, but it comes as we struggle, but more effort without GOD ALLAH is like to push the car while you are inside . Think about this logic."


SIKILIZA QUR'AN ONLINE

Topics :
 
Support : Zanzibar Media Group
Copyright © 2020. Zanzibar Yetu - All Rights Reserved